KARIBUNI KWA
MASOMO BUNIFU YA BIBLIA
MUHTASARI
Masomo Bunifu ya Biblia
- Masomo yametungwa kwa kumwangalia Mungu kulingana na habari ya Agano la Kale na Agano jipya
- Mbinu za ufundishaji zinalingana na uwezo na uelewa wa rika tatu za watoto
- Muhtasari huu umepangwa kwenye mfululizo wa muda wa miaka nane, kila mwaka una masomo 52 kwa kuzingatia mada kuu husika.
- Kuna masomo mbalimbali kuhusu Krismasi, Pasaka na Pentekoste.
- Zana za kufundishia na mapendekezo ya kazi mbalimbali darasani zinasaidia kuwashirikisha watoto kwenye ufundishaji.
Somo & Zana za kufundishia
Bonyeza hapa ili kuona mfano wa somo na zana za kufundishia.
Bonyeza hapa ili kuona orodha ya vitabu.
Mifano ya kusoma (Mwaka wa 1)
Watoto Wadogo
wa umri 4-6
Masomo kwa muda wa miaka 2
Watoto wa kati
wa umri 7-9
Masomo kwa muda
wa miaka 3
Watoto wakubwa
wa umri 10-12
Masomo kwa muda
wa miaka 3